Alex Bell
Mandhari

Alexander Bell (1882 - 30 Novemba 1934) alikuwa mchezaji wa mpira wa miguu.[1][2] Katika kutekeleza majukumu yake ya mpira alicheza sana nchini Uingereza, ambapo alicheza katika klabu ya Manchester United na Blackburn Rovers , alikuwa mzaliwa wa Afrika Kusini katika jiji la Capetown aliyelelewa nchini Uskoti. Alionekana mara kadhaa akichezea Timu ya Taifa ya Uskoti.[3][4]
Marejeo
[hariri | hariri chanzo]- ↑ Alexander Bell Ilihifadhiwa 3 Desemba 2016 kwenye Wayback Machine., MUFC.info
- ↑ "Alexander Bell". www.londonhearts.com. Iliwekwa mnamo 20 Novemba 2020.
{{cite web}}: CS1 maint: date auto-translated (link) - ↑ Barnes, Justyn; Bostock, Adam; Butler, Cliff; Ferguson, Jim; Meek, David; Mitten, Andy; Pilger, Sam; Taylor, Frank OBE; Tyrell, Tom (2001). The Official Manchester United Illustrated Encyclopedia. London: Manchester United Books. ISBN 0-233-99964-7.
- ↑ "Manchester United". www.londonhearts.com. Iliwekwa mnamo 20 Novemba 2020.
{{cite web}}: CS1 maint: date auto-translated (link)
| Makala hii kuhusu mtu huyo bado ni mbegu. Je, unajua kitu kuhusu Alex Bell kama wasifu wake, habari za maisha au kazi yake? Labda unaona habari katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa? Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuongeza habari. |