Albert Adomah
Mandhari
Makala hii inahitaji vyanzo zaidi ili kuwezesha kuonyesha uthibitisho. |
Albert Adomah
| Jinsia | mume |
|---|---|
| Nchi ya uraia | Ufalme wa Muungano |
| Nchi anayoitumikia | Ghana |
| Jina katika lugha mama | Albert Adomah |
| Jina la kuzaliwa | Albert Danquah Adomah |
| Jina halisi | Albert |
| Jina la familia | Adomah |
| Tarehe ya kuzaliwa | 13 Desemba 1987 |
| Mahali alipozaliwa | London |
| Lugha ya asili | Kiingereza |
| Lugha zinazozungumzwa, zilizoandikwa au zilizotiwa sahihi | Kiingereza |
| Kazi | association football player |
| Nafasi anayocheza kwenye timu | wing half, Forward (association football) |
| Alisoma | College of North West London |
| Muda wa kazi | 2005 |
| Mchezo | mpira wa miguu |
| Namba ya Mchezaji | 27 |
| Ameshiriki | Kombe la Dunia la FIFA 2014, 2013 Africa Cup of Nations |
| Ligi | Ligi Kuu Uingereza |
Albert Danquah Adomah (alizaliwa 13 Desemba 1987) ni mchezaji wa soka wa Ghana ambaye anacheza katika klabu ya Aston Villa na timu ya taifa ya Ghana.
Alicheza katika klabu mbalimbali kama Harrow Borough, Barnet, Bristol City na Middlesbrough, ambaye alicheza nayo hadi katika Ligi Kuu.
Aston Villa
[hariri | hariri chanzo]Adomah alijiunga na Aston Villa siku ya mwisho ya uhamisho kwa ada isiyojulikana, 31 Agosti 2016. Alifunga goli lake la kwanza kwa Aston Villa kwa ushindi wa 3-1 dhidi ya Cardiff City mwezi Novemba 26, 2016.
Alifunga magoli mawili kwenye mechi ambayo walisuluhu kwa magoli ya 2-2 nyumbani dhidi ya klabu ya Preston North End.
| Makala hii kuhusu mchezaji mpira fulani bado ni mbegu. Je, unajua kitu kuhusu Albert Adomah kama wasifu wake, habari za maisha au kazi yake? Labda unaona habari katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa? Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuongeza habari. |
