Beida

Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru
(Elekezwa kutoka Al Bayda)
Mahali pa Al Bayda katika ramani ya Libya
Msongamano wa magari katika Al Bayda

Al Bayda au Beida (kwa Kiarabu البيضاء ) ni mji mkubwa wa nne nchini Libya[1][2] na mji mkubwa wa pili katika sehemu ya mashariki baada ya Benghazi. Mwaka 2020 ilikuwa na wakazi 250,000[3].

Historia[hariri | hariri chanzo]

Mji huo ulianzishwa kama mji wa Kigiriki miaka 2000 iliyopita[4].

Jina la kisasa limetokea katika karne ya 19 wakati wa harakati ya Wasenussi waliojenga chuo kikubwa (zawiyya) kwenye mlima juu ya mji; kutokana na rangi yake nyeupe mji wote ulianza kuitwa "Zawiyya al-baida" na hatimaye "Al-Baida" pekee[5].

Ilikuwa makao makuu ya serikali wakati wa Ufalme wa Libya hadi mwaka 1969.

Tazama pia[hariri | hariri chanzo]

Marejeo[hariri | hariri chanzo]

  1. "Libya Cyrene to re-enchant" (kwa Kifaransa). Libération. April 30, 2011. Ilihifadhi kwenye nyaraka kutoka chanzo mnamo 2020-05-14. Iliwekwa mnamo 2021-11-30.  Check date values in: |date= (help)
  2. "Libya Russian fears, Drogba & Libyan rebels". ESPNsoccernet. September 10, 2011. Ilihifadhi kwenye nyaraka kutoka chanzo mnamo 2012-11-02. Iliwekwa mnamo 2021-12-26.  Check date values in: |date= (help)
  3. Shahid, Anthony. "Free of Qaddafi, a City Tries to Build a New Order", The New York Times, March 6, 2011. 
  4. Cyrenaica and the Late Antique Economy Oxford University Computing Services. Retrieved 28 September 2011.
  5. Azema, James (2000). Libya Handbook: The Travel Guide. Footprint. uk. 164. ISBN 978-1-900949-77-4. 

Viungo vya nje[hariri | hariri chanzo]