Nenda kwa yaliyomo

Ajali Rashid Akibar

Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru

Ajali Rashid Akibar (amezaliwa 25 Januari 1961) ni mwanasiasa Mtanzania na mwanachama wa Chama cha kisiasa cha CCM. Amechaguliwa kuwa mbunge wa Newala Vijijini kwa miaka 20152020.[1] [2]

  1. Tovuti ya Bunge la Tanzania Ilihifadhiwa 6 Mei 2017 kwenye Wayback Machine., iliangaliwa Mei 2017
  2. "Nakala iliyohifadhiwa". Ilihifadhiwa kwenye nyaraka kutoka chanzo mnamo 2020-01-25. Iliwekwa mnamo 2020-01-25.
Makala hii kuhusu kuhusu mwanasiasa wa Tanzania bado ni mbegu.
Je, unajua kitu kuhusu Ajali Rashid Akibar kama wasifu wake, habari za maisha au kazi yake?
Labda unaona habari katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa?
Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuongeza habari.