Ahmed Kutucu
Mandhari
Ahmed Kutucu
| Jinsia | mume |
|---|---|
| Nchi ya uraia | Uturuki |
| Nchi anayoitumikia | Uturuki |
| Jina halisi | Ahmed |
| Jina la familia | Kutucu |
| Tarehe ya kuzaliwa | 1 Machi 2000 |
| Mahali alipozaliwa | Gelsenkirchen |
| Lugha ya asili | Kituruki |
| Lugha zinazozungumzwa, zilizoandikwa au zilizotiwa sahihi | Kituruki |
| Kazi | mchezaji wa kandanda wa chama |
| Nafasi anayocheza kwenye timu | Forward (association football) |
| Muda wa kazi | 2018 |
| Mwanachama wa timu ya michezo | Schalke 04 |
| Mchezo | mpira wa miguu |
Ahmed Kutucu (amezaliwa 1 Machi 2000) ni mchezaji wa soka wa Uturuki ambaye anacheza kama kiungo wa kati katika klabu ya Schalke 04 ya Ujerumani. Pia ni mchezaji wa timu ya taifa ya vijana nchini Uturuki.
| Makala hii kuhusu mchezaji mpira fulani bado ni mbegu. Je, unajua kitu kuhusu Ahmed Kutucu kama wasifu wake, habari za maisha au kazi yake? Labda unaona habari katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa? Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuongeza habari. |