Adelaide wa Italia

Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru
Adelaide wa Italia

Adelaide wa Italia
Amezaliwa 931
Feast

Adelaide wa Italia (takriban 93116 Desemba, 999) alikuwa binti wa Rudolf II, mfalme wa Burgundia.

Kwanza aliolewa na Lothar, mfalme wa Italia. Alipofariki Lothar, Adelaide aliolewa na Otto I, mfalme wa Ujerumani.

Tangu kale anaheshimiwa kwa kuishi maisha matakatifu.

Sikukuu yake ni tarehe 16 Desemba[1].

Tazama pia[hariri | hariri chanzo]

Tanbihi[hariri | hariri chanzo]

Marejeo[hariri | hariri chanzo]

  • Attwater, Donald and Catherine Rachel John. The Penguin Dictionary of Saints. New York: Penguin Books (1993). ISBN 0140513124.
  • Chicago, Judy. The Dinner Party: From Creation to Preservation. London: Merrell (2007). ISBN 1858943701
  • Coulson, John. The Saints: A Concise Biographical Dictionary. New York: Hawthorn Books (1958).

Viungo vya nje[hariri | hariri chanzo]

Makala hii bado ni mbegu.
Je, unajua kitu kuhusu Mkristo huyu, kama wasifu wake, habari za maisha au kazi yake?
Je, unaona habari katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa?
Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuiongezea habari.