Adelaide wa Italia
Mandhari
Adelaide wa Italia | |
---|---|
![]() Adelaide wa Italia katika dirisha la kioo cha rangi | |
Amezaliwa | 931 |
Feast |
Adelaide wa Italia (Bourgogne, 931 hivi – Selz, leo nchini Ufaransa, 16 Desemba, 999) alikuwa binti wa Rudolf II, mfalme wa Burgundia.
Kwanza aliolewa na Lothari II, mfalme wa Italia. Alipofariki Lothari, Adelaide aliolewa na Otto I, mfalme mkuu wa Ujerumani.
Kama malkia alionyesha upendevu wa kiasi kwa wanafamilia wake, adabu na heshima kwa watu wengine, huruma isiyochoka kwa fukara, ukarimu mkubwa katika kuheshimu makanisa ya Mungu [1].
Ndiyo sababu tangu kale anaheshimiwa kama mtakatifu.
Sikukuu yake ni tarehe 16 Desemba[2].
Tazama pia
[hariri | hariri chanzo]- Watakatifu wa Agano la Kale
- Orodha ya Watakatifu Wakristo
- Orodha ya Watakatifu wa Afrika
- Orodha ya Watakatifu Wafransisko
Tanbihi
[hariri | hariri chanzo]Marejeo
[hariri | hariri chanzo]- Attwater, Donald and Catherine Rachel John. The Penguin Dictionary of Saints. New York: Penguin Books (1993). ISBN 0140513124.
- Chicago, Judy. The Dinner Party: From Creation to Preservation. London: Merrell (2007). ISBN 1858943701
- Coulson, John. The Saints: A Concise Biographical Dictionary. New York: Hawthorn Books (1958).
Viungo vya nje
[hariri | hariri chanzo]- Genealogie-Mittelalter: "Adelheid von Burgund". Ilihifadhiwa 4 Mei 2006 kwenye Wayback Machine.
- Women's Biography: Adelaide of Burgundy, Ottonian empress Ilihifadhiwa 30 Oktoba 2014 kwenye Wayback Machine.
![]() |
Makala hii bado ni mbegu. Je, unajua kitu kuhusu Mkristo huyu, kama wasifu wake, habari za maisha au kazi yake? Je, unaona habari katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa? Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuiongezea habari. |