Nenda kwa yaliyomo

Adelaide wa Italia

Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru
Adelaide wa Italia

Adelaide wa Italia katika dirisha la kioo cha rangi
Amezaliwa 931
Feast

Adelaide wa Italia (Bourgogne, 931 hivi – Selz, leo nchini Ufaransa, 16 Desemba, 999) alikuwa binti wa Rudolf II, mfalme wa Burgundia.

Kwanza aliolewa na Lothari II, mfalme wa Italia. Alipofariki Lothari, Adelaide aliolewa na Otto I, mfalme mkuu wa Ujerumani.

Kama malkia alionyesha upendevu wa kiasi kwa wanafamilia wake, adabu na heshima kwa watu wengine, huruma isiyochoka kwa fukara, ukarimu mkubwa katika kuheshimu makanisa ya Mungu [1].

Ndiyo sababu tangu kale anaheshimiwa kama mtakatifu.

Sikukuu yake ni tarehe 16 Desemba[2].

Tazama pia

[hariri | hariri chanzo]
  • Attwater, Donald and Catherine Rachel John. The Penguin Dictionary of Saints. New York: Penguin Books (1993). ISBN 0140513124.
  • Chicago, Judy. The Dinner Party: From Creation to Preservation. London: Merrell (2007). ISBN 1858943701
  • Coulson, John. The Saints: A Concise Biographical Dictionary. New York: Hawthorn Books (1958).

Viungo vya nje

[hariri | hariri chanzo]
Makala hii bado ni mbegu.
Je, unajua kitu kuhusu Mkristo huyu, kama wasifu wake, habari za maisha au kazi yake?
Je, unaona habari katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa?
Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuiongezea habari.