Addie Anderson Wilson

Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru

Addie Anderson Wilson (17 Agosti, 1876 - Oktoba 8, 1966) alikuwa mtunzi wa nyimbo na mpiga kinanda.[1] Alizaliwa Lawrenceville, Alabama, na aliishi Alabama kwa muda mrefu. [2]Alijifunza muziki akiwa pamoja na Mary Carr Moore na M. Wilson.[3]Aliolewa na William Sidney Wilson mnamo Novemba 9, 1892, na akapata mtoto mmoja.

Tanbihi[hariri | hariri chanzo]

  1. Kirk, Elise Kuhl (2001). American Opera (kwa Kiingereza). University of Illinois Press. ISBN 978-0-252-02623-2. 
  2. Hixon, Donald L. (1993). Women in music : an encyclopedic biobibliography. Hennessee, Don A. (toleo la 2nd). Metuchen, N.J.: Scarecrow Press. ISBN 0-8108-2769-7. OCLC 28889156. 
  3. Cohen, Aaron I. (1987). International encyclopedia of women composers (toleo la Second edition, revised and enlarged). New York. ISBN 0-9617485-2-4. OCLC 16714846. 
Makala hii kuhusu mwanamuziki fulani bado ni mbegu.
Je, unajua kitu kuhusu Addie Anderson Wilson kama wasifu wake, habari za maisha au kazi yake?
Labda unaona habari katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa?
Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuongeza habari.