Adan Wehliye Keynan

Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru

Adan Keynan Wehliye ni mwanasiasa nchini Kenya na mwanachama wa Chama cha Jubilee (JP). Mwaka 2013 alichaguliwa kama mbunge wa Taifa kwa kushinda eneo bunge la Eldas kwenye kaunti ya Wajir.[1]

Marejeo[hariri | hariri chanzo]

  1. http://www.parliament.go.ke/the-national-assembly/mps [Wabunge wa Taifa Kenya, tovuti la Bunge la Kenya, iliangaliwa Machi 4, 2022]