Nenda kwa yaliyomo

Abdulaziz Mohamed Abood

Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru

Ablulaziz Mohamed Abood (amezaliwa 27 Mei 1959) ni mwanasiasa Mtanzania na mwanachama wa Chama cha kisiasa cha Chama Cha Mapinduzi (CCM). Amechaguliwa kuwa mbunge wa Morogoro Mjini kwa miaka 20152020 na 2020 - 2025. [1]

  1. https://prabook.com/web/abdul-aziz.abood/2542911
Makala hii kuhusu kuhusu mwanasiasa wa Tanzania bado ni mbegu.
Je, unajua kitu kuhusu Abdulaziz Mohamed Abood kama wasifu wake, habari za maisha au kazi yake?
Labda unaona habari katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa?
Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuongeza habari.