Abdulaziz Mohamed Abood

Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru

Ablulaziz Mohamed Abood (amezaliwa 27 Mei 1959) ni mwanasiasa Mtanzania na mwanachama wa Chama cha kisiasa cha Chama Cha Mapinduzi (CCM). Amechaguliwa kuwa mbunge wa Morogoro Mjini kwa miaka 20152020. [1] [2]

Marejeo[hariri | hariri chanzo]

  1. Tovuti ya Bunge la Tanzania, iliangaliwa Mei 2017
  2. https://prabook.com/web/abdul-aziz.abood/2542911