Abdoul Danté
Mandhari
Abdoul Danté
| Jinsia | mume |
|---|---|
| Nchi ya uraia | Mali |
| Nchi anayoitumikia | Mali |
| Jina katika lugha mama | Abdoul Danté |
| Jina la kuzaliwa | Abdoul Karim Danté |
| Jina halisi | Abdoul, Karim |
| Tarehe ya kuzaliwa | 29 Oktoba 1998 |
| Mahali alipozaliwa | Bamako |
| Lugha zinazozungumzwa, zilizoandikwa au zilizotiwa sahihi | Kifaransa |
| Kazi | mchezaji wa kandanda wa chama |
| Nafasi anayocheza kwenye timu | Beki |
| Mwanachama wa timu ya michezo | R.S.C. Anderlecht, R.E. Virton, RWDM Brussels |
| Mchezo | mpira wa miguu |
| Namba ya Mchezaji | 47 |
Abdoul Danté (alizaliwa 29 Oktoba 1998) ni mchezaji wa soka wa Mali ambaye anaheza kama beki wa klabu ya FK Panevėžys iliyopo nchini Lituanya na timu ya taifa ya Mali.
Kazi ya kimataifa
[hariri | hariri chanzo]Dante alianza kucheza katika timu ya taifa ya Mali chini ya miaka 17 mwaka 2015 katika kombe la Timu za taifa barani Afrika chini ya miaka 17.
Viungo vya nje
[hariri | hariri chanzo]| Makala hii kuhusu mchezaji mpira fulani bado ni mbegu. Je, unajua kitu kuhusu Abdoul Danté kama wasifu wake, habari za maisha au kazi yake? Labda unaona habari katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa? Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuongeza habari. |