Abdessalam Benjelloun

Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru

Abdessalam Benjelloun (alizaliwa 28 Januari 1985) ni mchezaji wa soka wa Moroko anayecheza kama mshambuliaji katika klabu ya Raja Beni Mellal.[1]

Kazi[hariri | hariri chanzo]

Benjelloun alianza kazi yake nchini Morocco, kabla ya kuhamia klabu iliyoko ligi ya Uskoti ya Hibernian mwaka 2006. Benjelloun alipata mafanikio huko Hibs, akifunga magoli mawili katika ushindi wa 2007 Scottish League Cup Final, lakini alikopeshwa mara mbili katika vilabu vya Ubelgiji baadaye kabla ya kuachiliwa mwishoni mwa mkataba wake mwaka 2010. Benjelloun kisha alihamia klabu ya Ismaily SC ya Egyptian Premier League, lakini alirudi nchini Morocco mwezi Januari 2011. Katika ngazi ya kimataifa, aliwakilisha timu ya taifa ya Morocco.

Marejeo[hariri | hariri chanzo]

  1. Mercato. Abdeslam Benjelloun quitte le FUS, sport.le360.ma, 24 Juni 2017
Makala hii kuhusu mchezaji mpira fulani bado ni mbegu.
Je, unajua kitu kuhusu Abdessalam Benjelloun kama wasifu wake, habari za maisha au kazi yake?
Labda unaona habari katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa?
Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuongeza habari.