Abdallah Haji Ali
Abdallah Haji Ali (amezaliwa 1 Januari 1964) ni mwanasiasa Mtanzania na mwanachama wa Chama cha kisiasa cha Civic United Front (CUF), pia ni mwalimu kitaaluma huko visiwani Zanzibar [1] Amechaguliwa kuwa mbunge wa Kiwani kwa miaka 2015 – 2020. [2]
Marejeo[hariri | hariri chanzo]
- ↑ Nakala iliyohifadhiwa. Jalada kutoka ya awali juu ya 2020-01-25. Iliwekwa mnamo 2020-01-25.
- ↑ Tovuti ya Bunge la Tanzania, iliangaliwa Mei 2017
Makala hiyo kuhusu mwanasiasa wa Tanzania bado ni mbegu. Unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuongezea habari. |