Abdallah Haji Ali

Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru

Abdallah Haji Ali (amezaliwa 1 Januari 1964) ni mwanasiasa Mtanzania na mwanachama wa Chama cha kisiasa cha Civic United Front (CUF), pia ni mwalimu kitaaluma huko visiwani Zanzibar [1] Amechaguliwa kuwa mbunge wa Kiwani kwa miaka 20152020. [2]

Marejeo[hariri | hariri chanzo]

  1. Nakala iliyohifadhiwa. Jalada kutoka ya awali juu ya 2020-01-25. Iliwekwa mnamo 2020-01-25.
  2. Tovuti ya Bunge la Tanzania, iliangaliwa Mei 2017