Nenda kwa yaliyomo

Álex Grimaldo

Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru

Alejandro Grimaldo García (alizaliwa 20 Septemba 1995)[1] ni mchezaji wa mpira wa miguu kutoka Hispania, ambaye anacheza kama beki katika klabu ya Bayer 04 Leverkusen inayoshiriki Bundesliga ya Ujerumani na timu ya taifa ya Hispania.

Marejeo[hariri | hariri chanzo]

Makala hii kuhusu mchezaji mpira fulani bado ni mbegu.
Je, unajua kitu kuhusu Álex Grimaldo kama wasifu wake, habari za maisha au kazi yake?
Labda unaona habari katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa?
Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuongeza habari.