Waminimi
Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru
Waminimi (kwa Kilatini Ordo Minimorum) ni watawa wa Kanisa Katoliki wanaomfuata mkaapweke Fransisko wa Paola kutoka Italia kusini.
Mwishoni mwa mwaka 2008 shirika lilikuwa na watawa 180, kati yao mapadri 112, katika konventi 45 ambazo ziko Ulaya (Uceki, Italia, Hispania, Ukraina) na Amerika (Brazil, Colombia, Mexico, Marekani).[1][2]
Waminimi maarufu wa Ufaransa [hariri]
- Marin Mersenne (1588–1648)
- Jean François Niceron (1613–1646)
- Charles Plumier (1646–1704)
- Louis Feuillée (1660–1732)
Viungo vya nje [hariri]
| Makala bado ni mbegu. Unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuongezea habari. |
Cite error: <ref> tags exist, but no <references/> tag was found
