Waminimi

Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru
Rukia: urambazaji, tafuta
Lebo ya shirika ya Waminimi
Kanzu ya Waminimi
Kanisa la San Francesco di Paola ai Monti mjini Roma, makao makuu ya shirika.
Patakatifu pa Fransisko wa Paola.

Waminimi (kwa Kilatini Ordo Minimorum) ni watawa wa Kanisa Katoliki wanaomfuata mkaapweke Fransisko wa Paola kutoka Italia kusini.

Mwishoni mwa mwaka 2008 shirika lilikuwa na watawa 180, kati yao mapadri 112, katika konventi 45 ambazo ziko Ulaya (Uceki, Italia, Hispania, Ukraina) na Amerika (Brazil, Colombia, Mexico, Marekani).[1][2]

[hariri] Waminimi maarufu wa Ufaransa

[hariri] Viungo vya nje


Cite error: <ref> tags exist, but no <references/> tag was found

Vifaa binafsi
Maeneo ya wiki

Vibadala
Vitendo
Urambazaji
Vifaa
Lugha zingine