Valeri wa Trier

Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru
Makaburi ya Eukari na Valeri mjini Trier.

Valeri wa Trier (alifariki Trier, leo nchini Ujerumani, baada ya 250) alikuwa askofu wa pili wa mji huo[1][2][3][4].

Tangu zamani anaheshimiwa na Wakatoliki na Waorthodoksi kama mtakatifu.

Sikukuu yake inaadhimishwa kila mwaka tarehe 29 Januari[5] au 11 Septemba.

Tazama pia[hariri | hariri chanzo]

Tanbihi[hariri | hariri chanzo]

Viungo vya nje[hariri | hariri chanzo]

Makala hii bado ni mbegu.
Je, unajua kitu kuhusu Mkristo huyu, kama wasifu wake, habari za maisha au kazi yake?
Je, unaona habari katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa?
Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuiongezea habari.