Tumbaku

Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru

Tumbaku
(Hordeum vulgare L.)
Tumbaku
Tumbaku
Uainishaji wa kisayansi
Himaya: Planta (mimea)
Faila: Magnoliophyta (mimnea yenye maua)
Ngeli: Magnoliopsida au dicotyledoni (mimea yenye majani mawili asilia katika mbegu)
Oda: Solanales
Familia: Solanaceae
Jenasi: Nicotiana (L.)

Tumbaku (pia: tumbako, mtumbako) ni mmea mwenye asili ya Amerika inayolimwa kote duniani. Majani yake yana kiasi kikubwa cha nikotini na yana matumizi ya kuvuta katika sigara.

Majani ya tumbaku yakikauka

[hariri] Historia

Maindio ambao ni wenyeji asilia wa Amerika walitumia tumbaku miaka migi kabla ya kufika kwa Wazungu huko. Wahispania walijifunza matumizi ya tumbaku kutoka kwao wakaileta Ulaya.

Mwanzoni Tumbaku ilivutwa kwa kiko. Sigara zilipatikana baadaye.


[hariri] Walimaji Tumbaku

Walimaji wakuu wa tumbaku duniani - 2005
(milioni za tani za mraba)
Flag of the People's Republic of China.svg China 2.51
Flag of Brazil.svg Brazil 0.88
Flag of India.svg Uhindi 0.60
Flag of the United States.svg Marekani 0.29
Flag of Indonesia.svg Indonesia 0.14
Flag of Turkey.svg Uturuki 0.14
Flag of Greece.svg Ugiriki 0.12
Flag of Argentina.svg Argentina 0.12
Flag of Italy.svg Italia 0.11
Flag of Pakistan.svg Pakistan 0.08
World Total 6.38
Kutoka:
FAO
[1]


Greentree.jpg Makala hii kuhusu mmea fulani bado ni mbegu.
Je, unajua kitu kuhusu Tumbaku kama uainishaji wake wa kibiolojia, uenezi au matumizi yake?
Labda unaona habari katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa?
Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuongeza habari.