Toni Carabillo

Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru
Jessie Ashley

Toni Carabillo (1926-1997) alikuwa mwanaharakati wa haki za wanawake, mbunifu wa picha, na mwanahistoria wa nchini Marekani.

Wasifu[hariri | hariri chanzo]

Toni Carabillo alizaliwa huko Virginia Ann Carabillo mnamo Machi 26, 1926[1] Alihitimu kutoka Chuo cha Middlebury mnamo mwaka 1948 na kupata MA kutoka Chuo kikuu cha Columbia mnamo 1949.[2]

Marejeo[hariri | hariri chanzo]

  1. Valk, Anne M. (2004). Notable American Women: A Biographical Dictionary Completing the Twentieth Century. Cambridge, Mass. [u.a.]: Belknap Press of Harvard Univ. Press. ku. 103–104. ISBN 978-0-674-01488-6. 
  2. "Toni Carabillo, 71, Author At Forefront of Feminist Cause", The New York Times, November 5, 1997. 
Makala hii kuhusu mtu huyo bado ni mbegu.
Je, unajua kitu kuhusu Toni Carabillo kama wasifu wake, habari za maisha au kazi yake?
Labda unaona habari katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa?
Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuongeza habari.