Theodoreto wa Antiokia
Theodoreto wa Antiokia (alifariki Antiokia, leo nchini Uturuki, 22 Oktoba 362[1]) alikuwa padri aliyefia dini ya Ukristo kwa kukatwa kichwa wakati wa dhuluma ya kaisari Juliani Mwasi wa Dola la Roma[2][3].
Tangu kale anaheshimiwa na Kanisa Katoliki na Kanisa la Kiorthodoksi kama mtakatifu mfiadini.
Sikukuu yake huadhimishwa tarehe 23 Oktoba[4].
Tazama pia[hariri | hariri chanzo]
- Watakatifu wa Agano la Kale
- Orodha ya Watakatifu Wakristo
- Orodha ya Watakatifu wa Afrika
- Orodha ya Watakatifu Wafransisko
Tanbihi[hariri | hariri chanzo]
- ↑ "Lives of the Saints, For Every Day of the Year," p. 416
- ↑ Lives of the Saints by Alban Butler, Benziger Bros. Edition: "St. Theodoret"
- ↑ http://www.santiebeati.it/dettaglio/74840
- ↑ Martyrologium Romanum
Marejeo[hariri | hariri chanzo]
- "Lives of the Saints, For Every Day of the Year," edited by Rev. Hugo Hoever, S.O.Cist., Ph.D., New York: Catholic Book Publishing Co., 1955, 511 pp.
Viungo vya nje[hariri | hariri chanzo]
- Catholic Online - Saints & Angels: St. Theodoret of Antioch
- Lives of the Saints by Alban Butler, Benziger Bros. Edition: St. Theodoret
- Nominis.fr: Théodorit d'Uzès (Kifaransa)
Makala hii bado ni mbegu. Je, unajua kitu kuhusu Mkristo huyu, kama wasifu wake, habari za maisha au kazi yake? Je, unaona habari katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa? Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuiongezea habari. |