Siro wa Genova

Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru
Mt. Siro.

Siro wa Genova (alifariki 29 Juni 381 BK) anakumbukwa kama askofu bora wa mji huo (Italia Kaskazini)[1][2].

Tangu kale anaheshimiwa na Wakatoliki na Waorthodoksi kama mtakatifu.

Sikukuu yake huadhimishwa tarehe ya kifo chake[3]

Tazama pia[hariri | hariri chanzo]

Tanbihi[hariri | hariri chanzo]

  1. Bent, J. Theodore: Genoa: How the Republic Rose and Fell. 1881.
  2. https://www.santiebeati.it/dettaglio/90924
  3. Martyrologium Romanum

Viungo vya nje[hariri | hariri chanzo]

Wikimedia Commons ina media kuhusu:
Makala hii bado ni mbegu.
Je, unajua kitu kuhusu Mkristo huyu, kama wasifu wake, habari za maisha au kazi yake?
Je, unaona habari katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa?
Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuiongezea habari.