Shomoro

Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru
Shomoro
Shomoro mwekundu
Uainishaji wa kisayansi
Himaya: Animalia (Wanyama)
Faila: Chordata (Wanyama wenye ugwe wa neva mgongoni)
Ngeli: Aves (Ndege)
Oda: Passeriformes (Ndege kama shomoro)
Familia ya juu: Passeroidea
Familia: Passeridae (Ndege walio na mnasaba na shomoro)
Jenasi: Passer (Shomoro na jurawa)
Brisson, 1760
Ngazi za chini

Spishi 28:

Shomoro ni ndege wadogo wa jenasi Passer katika familia ya Passeridae ambao wana rangi ya nyeusi, nyeupe, majivu na kahawia. Ndege hawa huitwa korobindo pia, lakini jina hili litumike afadhali kwa kuita ndege wa jenasi Petronia. Shomoro wenye kichwa kijivu huitwa jurawa. Ndege hawa wana domo fupi na nene lifaalo kula mbegu, lakini hula wadudu wadogo pia hasa wanapokuwa vifaranga. Kwa asili shomoro wanatokea Ulaya, Afrika na Asia, lakini watu wamewaletea Australia na Marekani.

Spishi za Afrika[hariri | hariri chanzo]

Spishi za Ulaya na Asia[hariri | hariri chanzo]

Picha[hariri | hariri chanzo]