Rho
Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru
Rho ni herufi ya kumi na saba katika Alfabeti ya Kigiriki. Inaandikwa kama P (herufi kubwa cha mwanzo) au ρ (herufi ndogo ya kawaida). Rho ni asili ya herufi ya R katika alfabeti ya Kilatini. Kuhusu mabadiliko ya umbo tazama huko. Sauti ya "r" katika alfabeti ya Kikirili huandikwa kama rho.
Katika Ugiriki ya Kale ilihesabiwa pia kama namba "100".
Jinsi ilivyo kawaida na herufi mbalimbali za kigiriki inatumiwa kama kifupi kwa ajili ya dhana mbalimbali katika hesabu na fisikia. Imejulikana hasa kama alama ya densiti na pia kwa ukinzani wa umeme.
| Makala hiyo kuhusu "Rho" bado ni mbegu. Unaweza kusaidia kuikuza kwa kubofya kitufe kilichoandikwa "hariri". Ikiwepo makala kuhusu Rho kwa lugha nyingine, unaweza kuitafsiri kwa Kiswahili. |