Eta
Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru
| Alfabeti ya Kigiriki | |||||||
|---|---|---|---|---|---|---|---|
| Herufi za kawaida | |||||||
| Α α Alfa | 1 | Ν ν Ni | 50 | ||||
| Β β Beta | 2 | Ξ ξ Ksi | 60 | ||||
| Γ γ Gamma | 3 | Ο ο Omikron | 70 | ||||
| Δ δ Delta | 4 | Π π Pi | 80 | ||||
| Ε ε Epsilon | 5 | Ρ ρ Rho | 100 | ||||
| Ζ ζ Dzeta | 7 | Σ σ ς Sigma | 200 | ||||
| Η η Eta | 8 | Τ τ Tau | 300 | ||||
| Θ θ Theta | 9 | Υ υ Ipsilon | 400 | ||||
| Ι ι Iota | 10 | Φ φ Phi | 500 | ||||
| Κ κ Kappa | 20 | Χ χ Khi | 600 | ||||
| Λλ Lambda | 30 | Ψ ψ Psi | 700 | ||||
| Μ μ Mi | 40 | Ω ω Omega | 800 | ||||
| Herufi za kihistoria1 | |||||||
| 6 | 90 | ||||||
| 6 | 90 | ||||||
| 8 | 90 | ||||||
| 900 |
|
||||||
| 1 Viungo vya Nje: Alfabeti_ya_Kigiriki#Viungo_vya_Nje |
|||||||
Eta ni herufi ya saba katika Alfabeti ya Kigiriki. Inaandikwa kama η (alama ya kawaida) au Η (alama kubwa). Zamani za Kigiriki cha Kale ilikuwa pia alama kwa namba 8.
Asili ya Eta ni herufi ya kifinisia ya kheta (tazama makala ya H). Matamshi yake ya awali ilikuwa "h" na kwa maana hiyo alama iliingia katika alfabeti wa Kietruski na Kilatini. Ndani ya Kigiriki chenyewe sauti ya "h" ilipotea kwa muda na alama ilibaki kama "eta" ikimaanisha sauti ya aina ya "e".
Jinsi ilivyo kawaida na herufi mbalimbali za kigiriki inatumiwa kama kifupi kwa ajili ya dhana mbalimbali katika hesabu na fizikia.
Katika fizikia eta ni alama kwa mesoni ambayo ni kipande kidogo cha kujengea atomi.