Rambati

Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru
Kifodini cha Mt. Rambati katika dirisha la kioo cha rangi.

Rambati (pia: Rambert, Ragnebert, Ragnebertus; alifariki karibu na Lyon, Ufaransa, 13 Juni 680) alikuwa mkabaila mwenye maadili ya hali ya juu ambaye alichukiwa na mkuu wa ikulu hata akafungwa na hatimae kuuawa[1].

Tangu kale anaheshimiwa na Wakatoliki na Waorthodoksi kama mtakatifu mfiadini.

Sikukuu yake huadhimishwa tarehe 13 Juni[2].

Tazama pia[hariri | hariri chanzo]

Tanbihi[hariri | hariri chanzo]

Makala hii bado ni mbegu.
Je, unajua kitu kuhusu Mkristo huyu, kama wasifu wake, habari za maisha au kazi yake?
Je, unaona habari katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa?
Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuiongezea habari.