Protista

Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru

Protista

Protista ni kundi la viumbehai vidogo sana ambavyo mara nyingi huwa na seli moja au seli chache tu. Havionekani kwa jicho tupu bali kwa hadubini tu.

Mifano ya protista ni algae (mwani), amiba na aina za kuvu. Vilivyo vingi huishi baharini au ndani ya viumbe vingine; kwa hiyo vingine vinaonekana kama chanzo cha magonjwa.

Zamani vilihesabiwa kama himaya ya pekee ndani ya eukaryota lakini siku hizi hujumlishwa pamoja na himaya mbalimbali.


Blue morpho butterfly.jpg Makala hii kuhusu mambo ya biolojia bado ni mbegu.
Je, unajua kitu kuhusu Protista kama historia yake au mahusiano yake na mada nyingine?
Labda unaona habari katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa?
Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuongeza habari.