Ernst Haeckel
Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru
Heinrich Philipp August Haeckel (* 16 Februari 1834 mjini Potsdam; † 9 Agosti 1919 mjini Jena) alikuwa mtaalamu wa biolojia na falsafa kutoka nchini Ujerumani. Alijishughulisha na kazi za Charles Darwin.
Utaalamu wake ulikuwa hasa katika zuolojia akakusanya, kueleza na kuzipa majina spishi maelfu za wanyama. Alitumia wakati mwingi kutangaza matokeo ya kazi ya Darwin katika Ujerumani.
[hariri] Viungo vya Nje
- Marine Biological Laboratory Library - An exhibition of material on Haeckel, including background on many Kunsformen der Natur plates
- University of California, Berkeley - Ernst Haeckel biography
- Ernst Haeckel – Evolution's controversial artist. A slide-show essay about Ernst Haeckel.
- Kunstformen der Natur, Wikimedia Commons: over 100 detailed animal drawings.
- Kunstformen der Natur, scanned (from biolib.de Stuebers Online Library)
- PNG alpha-transparencies of Haeckel's "Kustformen der natur"
- Proteus - An animated documentary film on the life and work of Ernst Haeckel
- Ernst Haeckel Haus and Ernst Haeckel Museum in Jena