Proteri

Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru

Proteri (alifariki 28 Machi 457) alikuwa Patriarki wa Aleksandria tangu mwaka 451 hadi alipouawa kikatili katika vurugu iliyofanywa na Wakristo waliokataa maamuzi ya Mtaguso wa Kalsedonia[1][2].

Anaheshimiwa na Wakatoliki na Waorthodoksi kati ya watakatifu wafiadini[3].

Sikukuu yake huadhimishwa tarehe ya kifodini chake[4] au tarehe 28 Februari.

Tazama pia[hariri | hariri chanzo]

Tanbihi[hariri | hariri chanzo]

Marejeo[hariri | hariri chanzo]

Viungo vya nje[hariri | hariri chanzo]

Makala hii bado ni mbegu.
Je, unajua kitu kuhusu Mkristo huyu, kama wasifu wake, habari za maisha au kazi yake?
Je, unaona habari katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa?
Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuiongezea habari.