Prosesi na Martiniani

Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru
Kifodini cha Wat. Prosesi na Martiniani, mchoro wa Valentin de Boulogne, 1629.

Prosesi na Martiniani (waliuawa Roma, Italia, 67 hivi) walikuwa Wakristo waliofia imani yao[1].

Tangu kale wanaheshimiwa na Wakatoliki na Waorthodoksi kama watakatifu wafiadini.

Sikukuu yao huadhimishwa tarehe 2 Julai[2] au 11 Aprili.

Tazama pia[hariri | hariri chanzo]

Tanbihi[hariri | hariri chanzo]

Marejeo[hariri | hariri chanzo]

  • David Hugh Farmer, "The Oxford Dictionary of Saints," Oxford: Clarendon Press, 1978, p. 337.

Viungo vya nje[hariri | hariri chanzo]

Makala hii bado ni mbegu.
Je, unajua kitu kuhusu Mkristo huyu, kama wasifu wake, habari za maisha au kazi yake?
Je, unaona habari katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa?
Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuiongezea habari.