Mto Mvavi

Majiranukta: 6°02′36″S 38°46′48″E / 6.04333°S 38.78000°E / -6.04333; 38.78000
Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru

6°02′36″S 38°46′48″E / 6.04333°S 38.78000°E / -6.04333; 38.78000

Ramani ya Mto Mvavi

Mto Mvavi (pia: Mvave) ni kati ya mito ya mkoa wa Pwani (Tanzania mashariki).

Maji yake yanaelekea Bahari Hindi. Unaishia baharini kwenye kijiji cha Saadani katika wilaya ya Bagamoyo.

Tazama pia[hariri | hariri chanzo]

Tanbihi[hariri | hariri chanzo]

Viungo vya nje[hariri | hariri chanzo]