Mosul

Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru
Ramani ya Mosul.
Mji wa Iraq wa Mosul
Mji wa Iraq wa Mosul

Mosul (kwa Kiarabu الموصل, al-Mawṣil, el-Mōṣul; kwa Kikurdi مووسڵ, kwa Kiaramu ܡܘܨܠ, Māwṣil) ni mji wa Iraq kaskazini, kilometa 400 hivi mbali na Baghdad, kwenye ukingo wa magharibi wa mto Tigris, mkabala wa mji wa kale Ninawi uliokuwa kwenye ukingo wa mashariki.

Jiji lina wakazi 1,846,500 (2004)[1]wa makabila, dini na madhehebu mbalimbali[2][3][4].

Tanbihi[hariri | hariri chanzo]

  1. "Mosul". Encyclopedia of the Modern Middle East and North Africa. 1 January 2004.  Check date values in: |date= (help)
  2. Soane, E.B. To Mesopotamia and Kurdistan in Disguise. John Murray: London, 1912. p. 92.
  3. Rev. W.A. Wigram (1929). The Assyrians and Their Neighbours. London.
  4. Unrepresented Nations and People Organization (UNPO). Assyrians the Indigenous People of Iraq [1]

Vyanzo[hariri | hariri chanzo]

Viungo vya nje[hariri | hariri chanzo]

Wikimedia Commons ina media kuhusu:

Mosul travel guide kutoka Wikisafiri

Makala hii kuhusu eneo fulani bado ni mbegu.
Je unajua kitu kuhusu eneo hilo kama historia yake, biashara, taasisi zilizopo, watu au utamaduni?
Je, unaona habari katika wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa?
Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuiongezea habari.


Usitaje majina ya madiwani na viongozi au maafisa wengine wa sasa maana wanabadilika haraka mno.