Mkeshamsitu

Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru
Rukia: urambazaji, tafuta
Mkeshamsitu
Mkeshamsitu kijani(Cochoa viridis)
Mkeshamsitu kijani
(Cochoa viridis)
Uainishaji wa kisayansi
Himaya: Animalia (Wanyama)
Faila: Chordata (Wanyama wenye ugwe wa neva mgongoni)
Nusufaila: Vertebrata (Wanyama wenye uti wa mgongo)
Ngeli: Aves (Ndege)
Oda: Passeriformes (Ndege kama shomoro)
Familia ya juu: Muscicapoidea (Ndege kama shore)
Familia: Turdidae (Ndege walio na mnasaba na mkesha)
Rafinesque, 1815
Jenasi: Alethe Cassin, 1859

Brachyperyx Horsfield, 1821
Chlamydochaera Sharpe, 1887
Cochoa Hodgson, 1836
Heinrichia Stresemann, 1931
Heteroxenicus Sharpe, 1902
Pseudalethe Beresford, 2003

Spishi: Angalia katiba

Mikeshamsitu ni ndege wa jenasi mbalimbali katika familia Turdidae. Spishi za Afrika zinafanana na chati na zina rangi ya kahawa mgongoni na nyeupe chini. Spishi za Asia zina rangi kali zaidi. Mwenendo wa ndege hawa ni kama ule wa mikesha. Wanatokea misitu ya majimaji ya Afrika na Asia, pengine milimani. Hula wadudu hasa na matunda pia. Hulijenga tago lao kwa vigoga, vijiti na mizizi katika mti. Jike huyataga mayai 3-5.

Spishi za Afrika [hariri]

Spishi za mabara mengine [hariri]