Marko na Musiani

Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru

Marko na Musiani (walifariki Mesia, kati ya Bulgaria na Romania za leo, 305 hivi) walikuwa Wakristo wa Dola la Roma waliokatwa kichwa kwa kukataa kutoa sadaka kwa miungu na kukiri imani yao [1].

Tangu kale wanaheshimiwa na Wakatoliki na Waorthodoksi kama watakatifu wafiadini .

Sikukuu yao huadhimishwa tarehe 3 Julai[2].

Tazama pia[hariri | hariri chanzo]

Tanbihi[hariri | hariri chanzo]

Makala hii bado ni mbegu.
Je, unajua kitu kuhusu Mkristo huyu, kama wasifu wake, habari za maisha au kazi yake?
Je, unaona habari katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa?
Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuiongezea habari.