Karne ya 7 KK
Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru
Lango la Historia | Lango la Biografia | Karibuni | Orodha ya Miaka
◄ | Milenia ya 2 KK | Milenia ya 1 KK | Milenia ya 1 | ►
◄ | Karne ya 9 KK | Karne ya 8 KK | Karne ya 7 KK | Karne ya 6 KK | Karne ya 5 KK | ►
Karne ya 7 KK (=kabla ya Kristo) ni kipindi kuanzia mwaka 700 KK hadi mwisho wa 601 KK.
Yaliyomo |
[hariri] Wakati wa karne ya 7 KK
- Sarafu za kwanza zinazojulikana duniani zinatolewa Lydia kwenye pwani la magharibi ya Anatolia - wakati ule eneo la Wagiriki wa Kale
[hariri] Matukio
- Ufalme wa Yuda baada ya kifo cha mfalme Yosia unaelekea kikomo kama nabii Yeremia na wengineo wanavyobashiri
[hariri] Watu
- 604 KK: Nebukadreza II aanza utawala wake kama mfalme wa Babeli akimfuata babake Nabopolassar
[hariri] Viungo vya nje
Wikimedia Commons ina media kuhusu:
| Makala hii kuhusu mambo ya kihistoria bado ni mbegu. Je, unajua kitu kuhusu Karne ya 7 KK kama enzi zake au matokeo yake? Labda unaona habari katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa? Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuongeza habari. |