Isfridi

Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru
Wat. Ludolfo, Evermodo na Isfridi (kulia).

Isfridi, O.Prem. (1115 - Ratzeburg, Holstein, Ujerumani, 15 Juni 1204) alikuwa askofu wa 3 wa Ratzeburg[1] kutoka shirika la Wapremontree[2], ambaye, huku akidumisha nidhamu ya kitawa, aliinjilisha Wavendi [3].

Ndiyo sababu tangu kale anaheshimiwa kama mtakatifu. Papa Benedikto XIII alithibitisha heshima hiyo mwaka 1725.

Sikukuu yake huadhimishwa tarehe 15 Juni[4].

Tazama pia[hariri | hariri chanzo]

Tanbihi[hariri | hariri chanzo]

  1. Saints and Beati of the Order St. Philip's Priory Order of Canons Regular of Prémontré
  2. "St. Isfrid (June 15) on Premontre". 6 February 2020.  Check date values in: |date= (help)
  3. https://www.santiebeati.it/dettaglio/57370
  4. Martyrologium Romanum
Makala hii bado ni mbegu.
Je, unajua kitu kuhusu Mkristo huyu, kama wasifu wake, habari za maisha au kazi yake?
Je, unaona habari katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa?
Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuiongezea habari.