Howard Walter Florey

Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru

Howard Walter Florey (24 Septemba, 189821 Februari, 1968) alikuwa daktari kutoka nchi ya Australia. Hasa anajulikana kwa utafiti wake wa penisilini. Alipewa cheo cha "Sir" mwaka wa 1944. Mwaka wa 1945, pamoja na Alexander Fleming na Ernst Boris Chain alikuwa mshindi wa Tuzo ya Nobel ya Tiba.

Image:WikiLettreMini.svg Makala hiyo kuhusu "Howard Walter Florey" bado ni mbegu. Unaweza kusaidia kuikuza kwa kubofya kitufe kilichoandikwa "hariri".

Ikiwepo makala kuhusu Howard Walter Florey kwa lugha nyingine, unaweza kuitafsiri kwa Kiswahili.

Vifaa binafsi