Goribe

Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru

Goribe ni kata ya Wilaya ya Rorya katika Mkoa wa Mara, Tanzania, yenye postikodi namba 31312.

Katika sensa ya mwaka 2022 wakazi wa kata walihesabiwa kuwa 12,377 [1]. Kwa mujibu wa sensa iliyofanyika mwaka wa 2012, kata ilikuwa na wakazi wapatao 9,915 waishio humo.[2]

Kuna shule moja ya sekondari. Kuna zahanati mbili za Panyakoo na Tatwe. Kuna Parokia ya Kanisa Katoliki iliyoanzishwa na wamisionari wa Maryknoll mwaka 1959.

Marejeo[hariri | hariri chanzo]

Kata za Wilaya ya Rorya - Mkoa wa Mara - Tanzania

Baraki * Bukura * Bukwe * Goribe * Ikoma * Kigunga * Kinyenche * Kirogo * Kisumwa * Kitembe * Komuge * Koryo * Kyangasaga * Kyang'ombe * Mirare * Mkoma * Nyaburongo * Nyahongo * Nyamagaro * Nyamtinga * Nyamunga * Nyathorongo * Raranya * Rabour * Roche * Tai


Makala hii kuhusu maeneo ya Mkoa wa Mara bado ni mbegu.
Je unajua kitu kuhusu Goribe kama historia yake, biashara, taasisi zilizopo, watu au utamaduni?
Labda unaona habari katika wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa?
Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuongeza habari.

Usiingize majina ya viongozi au maafisa wa sasa maana wanabadilika haraka mno.