Fortunati wa Montefalco

Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru
Mchoro wa ukutani ukimuonyesha Mt. Fortunati.

Fortunati wa Montefalco alikuwa padri wa Kanisa Katoliki aliyeishi kati ya karne ya 4 na ya 5 katika Italia ya Kati, akifanya uchungaji kama paroko pamoja na kufanya kazi kwa bidii ili kujitegemea na kusaidia fukara wenzake, akitoa hivyo maisha yake kuhudumia wengine[1].

Tangu kale anaheshimiwa na Wakatoliki na Waorthodoksi kama mtakatifu[2].

Sikukuu yake huadhimishwa tarehe 1 Juni[3].

Tazama pia[hariri | hariri chanzo]

Tanbihi[hariri | hariri chanzo]

Viungo vya nje[hariri | hariri chanzo]

Makala hii bado ni mbegu.
Je, unajua kitu kuhusu Mkristo huyu, kama wasifu wake, habari za maisha au kazi yake?
Je, unaona habari katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa?
Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuiongezea habari.