Fisi-milima

Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru
Rukia: urambazaji, tafuta
Fisi-milima
Wolverine on rock.jpg
Uainishaji wa kisayansi
Himaya: Animalia (Wanyama)
Faila: Chordata (Wanyama wenye ugwe wa neva mgongoni)
Ngeli: Mammalia (Wanyama wenye viwele wanaonyonyesha wadogo wao)
Oda: Carnivora (Wanyama mbua)
Nusuoda: Caniformia (Wanyama kama mbwa)
Familia: Mustelidae (Wanyama walio na mnasaba na chororo)
Jenasi: Gulo
Pallas, 1780
Spishi: G. gulo
(Linnaeus, 1758)
Ngazi za chini

nususpishi 2:
G. g. gulo
G. g. luscus

Fisi-milima (asili isiyo haki) au konje-dubu (kutoka Kiing.: skunk-bear, Kisayansi: Gulo gulo) ni mnyama wa familia ya Mustelidae mwenye nywele nyeusi na nyeupe za matimutimu.

Ramani inaonyesha maeneo yaliyokaliwa na fisi-milima (nyekundu)
Crystal Clear app babelfish.png Makala hii kuhusu mnyama fulani bado ni mbegu.
Je, unajua kitu kuhusu Fisi-milima kama uainishaji wake wa kibiolojia, maisha au uenezi wake?
Labda unaona habari katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa?
Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuongeza habari.
WikiLettreMini.svg Makala hiyo kuhusu "Fisi-milima" inatumia neno (au maneno) ambalo si kawaida na matumizi yake ni jaribio la kutafsiri neno (au maneno) la asili skunk-bear kutoka kwa lugha ya Kiingereza. Neno (au maneno) la jaribio ni konje-dubu.
Wasomaji wanaombwa kuchangia mawazo yao kwenye ukurasa wa majadiliano ya makala.

Kamusi za Kiswahili ama zinatofautiana kuhusu matumizi ya neno hili au hazieleweki au hazina neno kwa jambo linalojadiliwa.

Vifaa binafsi
Maeneo ya wiki

Vibadala
Vitendo
Urambazaji
Vifaa
Lugha zingine