Fandila

Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru
Alivyochorwa.

Fandila (alifariki Cordoba, Hispania, 13 Juni 853) alikuwa mmonaki padri kutoka Granada aliyekatwa kichwa na Waislamu waliotawala nchi hiyo kwa sababu aliungama hadharani imani yake ya Kikristo[1] [2].

Taarifa zake ziliandikwa na Eulogi wa Kordoba[3] [4].

Tangu kale anaheshimiwa na Wakatoliki na Waorthodoksi kama mtakatifu mfiadini.

Sikukuu yake huadhimishwa tarehe 13 Juni[5].

Tazama pia[hariri | hariri chanzo]

Tanbihi[hariri | hariri chanzo]

  1. His martyrdom was one of the many in a period of Muslim persecution of the Christians in Al-Andalus, which began in 850 under Abd ar-Rahman II, continued under his successor Muhammad I, and went on intermittently until 960. Cfr. [1].
  2. http://www.santiebeati.it/dettaglio/57070
  3. Latin writings of Eulogius pdf downloads at documentacatholicaomnia.eu
  4. Complete Works of Eulogius of Cordoba English translations of Eulogius' writings.
  5. Martyrologium Romanum

Vyanzo[hariri | hariri chanzo]

  • Tolan, John, Medieval Christian Perceptions of Islam, New York: Routledge, 2000. ISBN|0-8153-1426-4
Makala hii bado ni mbegu.
Je, unajua kitu kuhusu Mkristo huyu, kama wasifu wake, habari za maisha au kazi yake?
Je, unaona habari katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa?
Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuiongezea habari.