Eulogi wa Cordoba

Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru
(Elekezwa kutoka Eulogi wa Kordoba)
Kifodini chake kilivyochorwa katika kanisa kuu la Cordoba.

Eulogi wa Cordoba (800 hivi -Cordoba, Hispania, 11 Machi 859) alikuwa padri aliyekatwa kichwa na Waislamu waliotawala nchi hiyo kwa sababu aliungama hadharani imani yake ya Kikristo na alimficha Leokrisya, binti aliyeacha Uislamu ajiunge na Kanisa[1].

Kabla ya hapo aliandika taarifa mbalimbali, kama zile za kifodini cha Flora na Maria.

Tangu kale anaheshimiwa na Wakatoliki na Waorthodoksi kama mtakatifu mfiadini.

Sikukuu yake huadhimishwa tarehe 11 Machi[2].

Tazama pia[hariri | hariri chanzo]

Tanbihi[hariri | hariri chanzo]

Maandishi[hariri | hariri chanzo]

Vyanzo[hariri | hariri chanzo]

  • Tolan, John, Medieval Christian Perceptions of Islam, New York: Routledge, 2000. ISBN|0-8153-1426-4

Viungo vya nje[hariri | hariri chanzo]

Makala hii bado ni mbegu.
Je, unajua kitu kuhusu Mkristo huyu, kama wasifu wake, habari za maisha au kazi yake?
Je, unaona habari katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa?
Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuiongezea habari.