Ernest Rutherford
Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru
Ernest Rutherford (30 Agosti, 1871 – 19 Oktoba, 1937) alikuwa mwanafizikia kutoka nchi ya Uingereza. Utafiti wake hasa uliweka msingi kwa fizikia ya kiini. Mwaka wa 1908 alikuwa mshindi wa Tuzo ya Nobel ya Kemia.


