Davini wa Lucca

Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru

Davini wa Lucca (alifariki Lucca, Italia, 3 Juni 1050) alikuwa Mkristo kutoka Armenia ambaye aligawa mali yake kwa maskini akahiji Yerusalemu na Roma. Wakati wa kuelekea Santiago de Compostela alifariki[1].

Tangu kale anaheshimiwa kama mtakatifu.

Sikukuu yake huadhimishwa tarehe 3 Juni[2].

Tazama pia[hariri | hariri chanzo]

Tanbihi[hariri | hariri chanzo]

Makala hii bado ni mbegu.
Je, unajua kitu kuhusu Mkristo huyu, kama wasifu wake, habari za maisha au kazi yake?
Je, unaona habari katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa?
Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuiongezea habari.