Cuthbert Mayne
Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru
Cuthbert Mayne (1544 – 30 Novemba, 1577) alikuwa mchungaji wa Kanisa la Anglikana nchini Uingereza kabla hajajiunga na Kanisa Katoliki na kupewa daraja ya upadri.
Hii ilimsababisha kuuawa chini ya sheria ya malkia Elizabeth I.
Mwaka 1970 alitangazwa kuwa mtakatifu kama mfiadini.
[hariri] Marejeo
- Godfrey Anstruther, Seminary Priests, St Edmund's College, Ware, vol. 1, 1968, pp. 224–226.
- Bishop Challoner, Memoirs of Missionary Priests and other Catholics of both sexes that have suffered death in England on religious accounts from the year 1577 to 1684 (Manchester 1803) pp. 7ff.
| Makala hii kuhusu Mkristo huyu bado ni mbegu. Je, unajua kitu kuhusu Cuthbert Mayne kama wasifu wake, habari za maisha au kazi yake? Labda unaona habari katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa? Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuongeza habari. |