Babila na wenzake

Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru
Mchoro mdogo wa kifodini cha Mt. Babila na wenzake.

Babila na wenzake (walifariki 253) alikuwa askofu wa 12 wa Antiokia, leo nchini Uturuki[1].

Kisha kuteswa mara kadhaa kwa ajili ya dini yake, askofu huyo aliuawa amefungwa minyororo ya chuma aliyoagiza azikwe nayo. Inasemekana kuwa pamoja naye waliuawa Urbani, Prilidani na Epoloni, watoto watatu aliowafundisha imani ya Kikristo, bila kujali dhuluma ya kaisari Decius.

Tangu zamani wote wanaheshimiwa na Wakatoliki na Waorthodoksi kama watakatifu wafiadini[2].

Sikukuu yao inaadhimishwa kila mwaka tarehe 24 Januari[3].

Tazama pia[hariri | hariri chanzo]

Tanbihi[hariri | hariri chanzo]

Marejeo[hariri | hariri chanzo]

  • Frendo, David (2007). "Dangerous Ideas: Julian's Persian Campaign, Its Historical Background, Motivation, and Objectives". Bulletin of the Asia Institute 21. 

Viungo vya nje[hariri | hariri chanzo]

Makala hii bado ni mbegu.
Je, unajua kitu kuhusu Mkristo huyu, kama wasifu wake, habari za maisha au kazi yake?
Je, unaona habari katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa?
Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuiongezea habari.