Alida Mkoma

Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru
Sanamu yake.

Alida Mkoma (pia: Aleydis, Alix, Alice, Adelaide; Schaerbeek, leo nchini Ubelgiji 1120 hivi - Ixelles, Ubelgiji, 11 Juni 1150[1]), alikuwa bikira wa shirika la Wasitoo ambaye akiwa na umri wa miaka 22 alipatwa na ukoma, hivyo akalazimika kuishi upwekeni. Polepole alipotewa na uwezo wa kuona na kutumia viungo vyake vyote isipokuwa kinywa ili aweze kuimba sifa za Mwenyezi Mungu[2][3].

Tarehe 14 Machi 1907 Papa Pius X alithibitisha heshima ya mtakatifu[4] ambayo Wakatoliki walimpa tangu zamani.

Sikukuu yake huadhimishwa tarehe 11 Juni[5].

Tazama pia[hariri | hariri chanzo]

Tanbihi[hariri | hariri chanzo]

  1. "Adelaide of Schaerbeck (d. 1250)". Women in World History: A Biographical Encyclopedia. Gale Research Inc.. http://www.highbeam.com/do2591300124.html. Retrieved 8 January 2013. Archived 29 Machi 2015 at the Wayback Machine. Subscription required
  2. "De B. Aleyde Scharembekana, Sanctimoniali Ordinis Cisterciensis, Camerae Iuxta Bruxellam", in Acta Sanctorum, edited by Godfrey Henschen, 477–83. Paris: Société des Bollandistes, 1688; repr. 1969.
  3. https://www.santiebeati.it/dettaglio/56840
  4. St. Alice at Catholic Online
  5. Martyrologium Romanum

Vyanzo[hariri | hariri chanzo]

  • Latin Critical edition: "De B. Aleyde Scharembekana, Sanctimoniali Ordinis Cisterciensis, Camerae Iuxta Bruxellam", in Acta Sanctorum, edited by Godfrey Henschen, 477–83. Paris: Société des Bollandistes, 1688; repr. 1969.
  • Modern English translation: Life of St Alice of Schaerbeek. Translated by Martinus Cawley, O.C.S.O. Lafayette, OR: Our Lady of Gaudalupe Abbey, 2000. Excerpts of the translation are available to read online: "Excerpts from The Life of Alice the Leper". Kenyon College Online Projects. Iliwekwa mnamo 3 April 2018.  Check date values in: |accessdate= (help)

Marejeo mengine[hariri | hariri chanzo]

  • Campion, Eleanor, O.C.S.O. "Bernard and Alice the Leper: An Odor of Life for Some." Cistercian Studies Quarterly 39, no. 2 (2004): 127–39.
  • Cawley, Martinus. "Introduction." In Life of St Alice of Schaerbeek, edited by Martinus Cawley, v-xxx. Lafayette, OR: Our Lady of Gaudalupe Abbey, 2000.
  • Krahmer, Shawn Madison. "Redemptive Suffering: The Life of Alice of Schaerbeek in a Contemporary Context." In Maistresse of My Wit: Medieval Women, Modern Scholars, edited by Juanita Ruys and Louise d’Arcen, 267–93. Turnhout: Brepols, 2004.
  • Madison, Shawn. "Suffering, Sacrifice, and Stability: "The Life of Aleydis of Schaerbeek" in a Contemporary Context ". Magistra 8, no. 2 (2002): 25-44.
  • Mikkers, Edmund. O.C.S.O. "Meditations on the "Life" of Alice of Schaerbeek ". In Hidden Springs: Cistercian Monastic Women, edited by John A. Nichols and Lillian Thomas. O.C.S.O. Shank. Medieval Religious Women, 395-413. Kentucky: Cistercian Publications, 1995.
  • Scholl , Edith, O.C.S.O. "The Golden Cross: Aleydis of Schaerbeek." In Hidden Springs: Cistercian Monastic Women, edited by John A. Nichols and Lillian Thomas. O.C.S.O. Shank. Medieval Religious Women, 377–93. Kentucky: Cistercian Publications, 1995.
  • Spencer-Hall, Alicia. "Christ’s Suppurating Wounds: Leprosy in the Vita of Alice of Schaerbeek († 1250)." In ‘His Brest Tobrosten’: Wounds and Wound Repair in Medieval Culture, edited by Kelly DeVries and Larissa Tracy, 389–416. Leiden: Brill, 2015.

Viungo vya nje[hariri | hariri chanzo]

Wikimedia Commons ina media kuhusu:
Makala hii bado ni mbegu.
Je, unajua kitu kuhusu Mkristo huyu, kama wasifu wake, habari za maisha au kazi yake?
Je, unaona habari katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa?
Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuiongezea habari.