Ziwa Malombe

Majiranukta: 14°40′0″S 35°15′0″E / 14.66667°S 35.25000°E / -14.66667; 35.25000
Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru
Ziwa Malombe
linavoonekana kutoka angani
Mahali Upande wa kusini
Anwani ya kijiografia 14°40′0″S 35°15′0″E / 14.66667°S 35.25000°E / -14.66667; 35.25000
Mito ya kuingia Mto Shire kutoka Ziwa Malawi
Mito ya kutoka Mto Shire
Nchi za beseni Malawi
Eneo la maji Kilomita za mraba 450
Kina cha wastani Futi 6 - 8

Ziwa Malombe ni ziwa linalopatikana kusini mwa nchi ya Malawi [1].

Eneo la ziwa ni kilomita za mraba 450. Ziwa lina kina kifupi ambacho kinakadiriwa kuwa ni mita 1.8 hadi 2.4.

Mto Shire unapita katika ziwa Malombe.

Tanbihi[hariri | hariri chanzo]

  1. "Archived copy". Ilihifadhi kwenye nyaraka kutoka chanzo mnamo 2006-09-10. Iliwekwa mnamo 2006-09-10.  Unknown parameter |url-status= ignored (help)
Makala hii kuhusu maeneo ya Afrika bado ni mbegu.
Je unajua kitu kuhusu Ziwa Malombe kama historia yake, biashara, taasisi zilizopo, watu au utamaduni?
Labda unaona habari katika wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa?
Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuongeza habari.