Nenda kwa yaliyomo

Zanzibar Premier League

Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru

Ligi Kuu ya Zanzibar kwa kiingereza (Zanzibar Premier League), kwa jina lingine PBZ Premier League, ni mashindano ya daraja la juu kabisa ya mchezo wa mpira wa miguu chini ya Shirikisho la mpira wa miguu la Zanzibar. Ilianzishwa mwaka 1926 na kurasimishwa mwaka 1981. Anayeshikilia rekodi ya mfungaji mwenye magoli mengi mpaka sasa ni Craig macfarlane, alifunga jumla ya magoli 63 kwenye msimu wa 2001-02.

Ligi Kuu ya Zanzibar kwa kiingereza (Zanzibar Premier League), kwa jina lingine PBZ Premier League, ni mashindano ya daraja la juu kabisa ya mchezo wa mpira wa miguu chini ya Shirikisho la mpira wa miguu la Zanzibar. Ilianzishwa mwaka 1926 na kurasimishwa mwaka 1981. Anayeshikilia rekodi ya mfungaji mwenye magoli mengi mpaka sasa ni Craig macfarlane, alifunga jumla ya magoli 63 kwenye msimu wa 2001-02.

Washindi

[hariri | hariri chanzo]

Chanzo:[1]

Utendaji wa Timu

[hariri | hariri chanzo]
Klabu Mataji Taji la mwisho
KMKM 9 2022–23
Mlandege FC 7 2019–20
Small Simba 5 1994–95
Malindi 3 1991–92
Mafunzo 2014–15
Miembeni 2007–08
JKU 2023–24
Shangani F.C. 2 1993–94
Polisi 2005–06
Ujamaa 1981–82
Kipanga 1 1999–2000
Jamhuri 2002–03
Zanzibar Ocean View 2009–10
Super Falcon 2011–12
Zimamoto 2015–16

Chanzo:[1]

Wafungaji Bora

[hariri | hariri chanzo]
Msimu Mfungaji Bora Klabu Magoli
2005 Zanzibar Joseph Malik Tembo 8
2008 Bakari Mohammed Mundu
2009 Mfanyeje Musa Mundu 14
2020–21 Zanzibar Maabad Maulid KVZ 17
2021–22 Zanzibar Maabad Maulid KVZ 21
2022–23 Tanzania Yassin Mgaza KMKM 17
2023–24 Zanzibar Suleiman Mwalim Abdallah KVZ 20
  1. 1.0 1.1 "Zanzibar Champions". www.rsssf.org. Iliwekwa mnamo 2024-03-05.
Makala hii kuhusu mambo ya michezo bado ni mbegu.
Je, unajua kitu zaidi kuhusu Zanzibar Premier League kama historia yake, uenezi au kanuni zake?
Labda unaona katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine habari zinazofaa kutafsiriwa?
Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuongeza habari.