Zimamoto F.C.

Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru

Zimamoto F.C. ni klabu ya soka ya Zanzibar. Timu inashindana katika Ligi Kuu ya Zanzibar.

Walishindana katika Ligi ya Mabingwa wa CAF kwa mara ya kwanza mwaka 2017.[1]

Marejeo[hariri | hariri chanzo]