Zanefa Ngidi

Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru

Zanefa Ngidi (alizaliwa 5 Februari1986) [1] ni raia wa Afrika Kusini na mwanamuziki wa maskandi.

Maisha ya Awali na Elimu[hariri | hariri chanzo]

Alizaliwa 1986 huko Embizeni, Kwa-Maphumulo, karibu na mji wa Kwa-Zulu Natal wa KwaDukuza. Alimaliza elimu yake ya sekondari katika shule ya Upili ya Velangzwi.

Kazi ya muziki[hariri | hariri chanzo]

2000:kazi ya awali alianza[hariri | hariri chanzo]

Utoaji huduma yake ya muziki ulianza mapema miaka ya 2000. Ngidi ni mmoja wa watunzi wachanga bora zaidi katika tanzu hii.Ana uwezo wa kusimulia hadithi kupitia wimbo na muziki wake umejaa jumbe za mapenzi na hadithi kuhusu malezi yake. Zanefa alitoa zaidi ya albamu nne kutoka 2010. Alitoa albamu yake ya kwanza mwaka wa 2010 iliyoitwa Umona. Mradi huo ulimletea uteuzi wa Albamu Bora ya Mwaka ya Maskandi katika Tuzo za 2011 za kitamaduni nchini Afrika ya Kusini SA Traditional Music Awards (SATMA Awards).[2]

Diskografia[hariri | hariri chanzo]

Albamu za studio[hariri | hariri chanzo]

  • Umona (2010)
  • Amangwinya (2011)
  • Ebusweni bencwadi (2012)
  • Amahliphihliphi (2017)
  • Inyoka yami (2020)

Marejeo[hariri | hariri chanzo]

  1. "Ngidi has the beat", SowetanLive, SowetanLive, 12 September 2001. 
  2. ZANEFA NGIDI PROFILE. Zuzmuzi music.
Makala hii kuhusu mwanamuziki fulani bado ni mbegu.
Je, unajua kitu kuhusu Zanefa Ngidi kama wasifu wake, habari za maisha au kazi yake?
Labda unaona habari katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa?
Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuongeza habari.

Viungo vya nje[hariri | hariri chanzo]