Nenda kwa yaliyomo

Winston Jarrett

Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru
Jarrett (kushoto) akiwa na Sugar Minott mwaka 2005.

Winston Jarrett (zlizaliwa 14 Septemba 1940)[1] ni mwimbaji wa reggae kutoka Jamaika ambaye alikuwa sehemu ya kundi la Alton Ellis linaloitwa The Flames katika miaka ya 1960 kabla ya kurekodi na The Righteous Flames na kama msanii wa pekee.[2][3]

  1. Thompson, Dave (2002) Reggae & Caribbean Music, Backbeat Books, ISBN 0-87930-655-6, p. 423
  2. Peter I (2004) "A Wise Man – Winston Jarrett interview", Reggae Vibes, retrieved 29 March 2011
  3. "Backup singer 'Baby G' dies at 70", Jamaica Gleaner, 26 November 2008, retrieved 29 March 2011