Wingu (mtandao)
Jump to navigation
Jump to search

Mchoro wa wingu wa utarakilishi.
Katika utarakilishi, Wingu au Wingu wa utarakilishi (kwa Kiingereza: Cloud au Cloud computing) ni kituo cha data kinachotumika ili kukusanya data za watumiaji wengi.
Unaitwa "Wingu" kwa sababu data hazitunzwi katika kifaa cha kutunzia binafsi cha watumiaji.
Marejeo[hariri | hariri chanzo]
- Kahigi, K. K. (2007). Ujanibishaji wa Office 2003 na Windows XP kwa Kiswahili Sanifu. Kioo cha Lugha, 5(1).